Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 20:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na mambo mengine ya Hezekia na nguvu zake zote na jinsi alivyotengeneza kile kidimbwi+ na bomba+ la maji kisha akaleta maji ndani ya jiji, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda?

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na Hezekia ndiye aliyeziba+ chemchemi ya juu ya maji+ ya Gihoni+ na kuyaelekeza moja kwa moja chini upande wa magharibi mpaka Jiji la Daudi,+ na Hezekia akaendelea kufanikiwa katika kila moja ya kazi zake.+

  • Nehemia 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye Shaluni mwana wa Kolhoze mkuu wa wilaya ya Mispa,+ akarekebisha Lango la Chemchemi;+ yeye mwenyewe akalijenga na kuliweka paa na kuisimamisha milango+ yake, makomeo yake na mapingo yake, na pia ukuta wa Kidimbwi+ cha Mfereji unaoelekea kwenye Bustani ya Mfalme+ mpaka kwenye Ngazi+ inayoshuka kutoka Jiji la Daudi.+

  • Yohana 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 na kumwambia: “Nenda ukanawe+ katika dimbwi la Siloamu”+ (linalotafsiriwa ‘Aliyetumwa’). Na kwa hiyo akaenda na kunawa,+ akarudi akiwa anaona.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki