26 leo nachukua mbingu na dunia ili ziwe mashahidi dhidi yenu,+ ya kwamba hakika mtaangamia haraka kutoka katika nchi ambayo mnavuka Yordani ili mwimiliki. Hamtarefusha siku zenu juu yake, kwa sababu hakika mtaangamizwa.+
34Njooni karibu, enyi mataifa, ili msikie;+ nanyi vikundi vya taifa,+ kazeni uangalifu. Dunia na vyote vilivyomo na visikilize,+ nchi yenye kuzaa+ na mazao yake yote.+
19 Sikiliza, Ee dunia! Tazama, ninaleta msiba juu ya watu+ hawa kama matunda ya fikira zao,+ kwa maana hawakuyasikiliza maneno yangu; na sheria yangu—pia waliendelea kuikataa.”+
2 “Sikieni, enyi vikundi vya watu, ninyi nyote; kazeni uangalifu, Ee dunia na vyote vinavyokujaza,+ naye Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova na awe shahidi juu yenu,+ Yehova katika hekalu lake takatifu.+