8 na kwa kweli taifa lile ligeuke kutoka katika ubaya wake ambao nilisema juu yake,+ mimi pia nitajuta juu ya ule msiba niliokuwa nimefikiria kuutimiza juu yake.+
3 Labda wale wa nyumba ya Yuda watausikiliza msiba wote ninaofikiria kuwatendea,+ kusudi warudi, kila mmoja kutoka katika njia yake mbaya,+ na ili mimi kwa kweli nisamehe kosa lao na dhambi yao.”+