Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 103:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hakututendea kulingana na dhambi zetu;+

      Wala kuleta juu yetu kile tunachostahili kulingana na makosa yetu.+

  • Yeremia 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 na kwa kweli taifa lile ligeuke kutoka katika ubaya wake ambao nilisema juu yake,+ mimi pia nitajuta juu ya ule msiba niliokuwa nimefikiria kuutimiza juu yake.+

  • Yeremia 36:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Labda wale wa nyumba ya Yuda watausikiliza msiba wote ninaofikiria kuwatendea,+ kusudi warudi, kila mmoja kutoka katika njia yake mbaya,+ na ili mimi kwa kweli nisamehe kosa lao na dhambi yao.”+

  • Ezekieli 18:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 “ ‘Kwa maana sipendezwi na kifo cha mtu anayekufa,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. ‘Kwa hiyo geukeni, mwendelee kuishi.’ ”+

  • Yona 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ni nani anayejua iwapo Mungu wa kweli hatageuka na kujuta+ na kuacha hasira yake inayowaka, tusije tukaangamia?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki