17 Naye akaendelea kuniambia: “Je, umeona hili, Ee mwana wa binadamu? Je, ni jambo dogo sana kwa nyumba ya Yuda kufanya machukizo ambayo wamefanya hapa, kwamba waijaze nchi jeuri+ na kwamba wanitie uchungu tena, na tazama, wananyoosha lile chipukizi kuelekea pua yangu?