Kutoka 34:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na Yehova akapita karibu mbele ya uso wake na kutangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na neema,+ si mwepesi wa hasira+ naye ni mwingi wa fadhili zenye upendo+ na kweli,+ Nehemia 9:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na katika rehema zako nyingi hukuwaangamiza+ wala kuwaacha;+ kwa maana wewe ni Mungu mwenye neema+ na rehema.+ Zaburi 106:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Naye akalikumbuka agano lake juu yao,+Naye akajuta kulingana na wingi wa fadhili zake kuu zenye upendo.+ Methali 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova anapofurahia njia za mtu,+ huwafanya hata adui zake wawe na amani naye.+ Danieli 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwake Yehova Mungu wetu, kuna rehema+ na msamaha,+ kwa maana tumemwasi.+
6 Na Yehova akapita karibu mbele ya uso wake na kutangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na neema,+ si mwepesi wa hasira+ naye ni mwingi wa fadhili zenye upendo+ na kweli,+
31 Na katika rehema zako nyingi hukuwaangamiza+ wala kuwaacha;+ kwa maana wewe ni Mungu mwenye neema+ na rehema.+
45 Naye akalikumbuka agano lake juu yao,+Naye akajuta kulingana na wingi wa fadhili zake kuu zenye upendo.+