Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na Yehova akapita karibu mbele ya uso wake na kutangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na neema,+ si mwepesi wa hasira+ naye ni mwingi wa fadhili zenye upendo+ na kweli,+

  • Nehemia 9:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na katika rehema zako nyingi hukuwaangamiza+ wala kuwaacha;+ kwa maana wewe ni Mungu mwenye neema+ na rehema.+

  • Zaburi 106:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Naye akalikumbuka agano lake juu yao,+

      Naye akajuta kulingana na wingi wa fadhili zake kuu zenye upendo.+

  • Methali 16:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Yehova anapofurahia njia za mtu,+ huwafanya hata adui zake wawe na amani naye.+

  • Danieli 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwake Yehova Mungu wetu, kuna rehema+ na msamaha,+ kwa maana tumemwasi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki