Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 34:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yehova ana upanga; nao utajazwa damu;+ utalainishwa kwa mafuta, kwa damu ya wana-kondoo dume na mbuzi-dume, kwa mafuta+ ya figo za kondoo-dume. Kwa maana Yehova ana dhabihu katika Bosra, na machinjo makubwa katika nchi ya Edomu.+

  • Yeremia 50:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Waueni ng’ombe-dume zake wote wachanga.+ Na washuke kwenda machinjoni.+ Ole wao, kwa maana siku yao imefika, wakati wa kuwakazia fikira!+

  • Ezekieli 39:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mtakula nyama ya wenye nguvu, nanyi mtakunywa damu ya wakuu wa dunia,+ kondoo-dume, na wana-kondoo,+ na mbuzi-dume, ngombe-dume wachanga,+ vinono wote wa Bashani.+

  • Zekaria 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Hasira yangu imewaka juu ya wachungaji,+ nami nitawatoza hesabu+ viongozi walio kama mbuzi;+ kwa maana Yehova wa majeshi ameelekeza fikira zake kwa kundi lake,+ nyumba ya Yuda, naye amewafanya kama farasi+ wake mwenye heshima katika mapigano.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki