2 Mambo ya Nyakati 36:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo akaleta juu yao mfalme wa Wakaldayo,+ ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga+ katika nyumba ya patakatifu pao,+ wala hakumhurumia kijana wala bikira, mzee wala mkongwe.+ Kila kitu Yeye alikitia mkononi mwake. Isaya 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Yehova atakatilia mbali kutoka katika Israeli kichwa+ na mkia,+ chipukizi na kitete, katika siku moja.+ Maombolezo 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mvulana na mwanamume mzee+ wamelala chini katika mavumbi ya barabara.+Mabikira wangu na vijana wangu wenyewe wameanguka kwa upanga.+Umeua katika siku ya hasira yako.+ Umechinja;+ hukuwa na huruma.+
17 Kwa hiyo akaleta juu yao mfalme wa Wakaldayo,+ ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga+ katika nyumba ya patakatifu pao,+ wala hakumhurumia kijana wala bikira, mzee wala mkongwe.+ Kila kitu Yeye alikitia mkononi mwake.
14 Na Yehova atakatilia mbali kutoka katika Israeli kichwa+ na mkia,+ chipukizi na kitete, katika siku moja.+
21 Mvulana na mwanamume mzee+ wamelala chini katika mavumbi ya barabara.+Mabikira wangu na vijana wangu wenyewe wameanguka kwa upanga.+Umeua katika siku ya hasira yako.+ Umechinja;+ hukuwa na huruma.+