10 Nami nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Kwa kweli umewadanganya kabisa watu+ hawa na Yerusalemu, kwa kusema, ‘Mtakuwa na amani,’+ na upanga umefika mpaka kwenye nafsi.”
31 Manabii wenyewe kwa kweli wanatoa unabii kwa uwongo;+ nao makuhani wanakandamiza kulingana na nguvu zao.+ Na watu wangu wamependa mambo yawe hivyo;+ nanyi mtafanya nini mwisho wake?”+
17 Wanawaambia tena na tena wale ambao hawaniheshimu, ‘Yehova amesema: “Ninyi mtakuwa na amani.”’+ Nao wamemwambia kila mtu anayetembea katika ukaidi wa moyo wake,+ ‘Hamtapatwa na msiba wowote.’+
9 “‘“‘Nanyi msiwasikilize manabii+ wenu na waaguzi wenu na waota-ndoto+ wenu na watu wenu wenye kufanya uchawi na walozi+ wenu, ambao wanawaambia: “Ninyi hamtamtumikia mfalme wa Babiloni.”+
10 kwa sababu, naam, kwa sababu wamewapotosha watu wangu, na kusema, “Kuna amani!” wakati hakuna amani,+ pia kuna mtu anayejenga ukuta wa kugawanya, lakini kwa ubatili+ kuna wale wanaoupiga lipu kwa chokaa.’+
11 Walio vichwa vyake hutoa hukumu ili wale rushwa+ tu, na makuhani wake hufundisha ili tu wapate malipo,+ na manabii wake hufanya uaguzi ili tu wapate pesa;+ hata hivyo wao huendelea kujiegemeza kwa Yehova, wakisema: “Je, Yehova hayuko katikati yetu?+ Hakuna msiba utakaotupata.”+