Zaburi 119:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Uyafanye macho yangu yapite ili yasione jambo lisilofaa;+Unihifadhi hai katika njia yako mwenyewe.+ Mathayo 5:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini mimi ninawaambia ninyi kwamba kila mtu ambaye anaendelea kumtazama mwanamke+ na kumtamani tayari amefanya uzinzi+ pamoja naye moyoni mwake.+ 1 Yohana 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 kwa sababu kila kitu kilicho katika ulimwengu+—tamaa ya mwili+ na tamaa ya macho+ na mtu kujionyesha mali yake maishani+—hakitokani na Baba, bali hutokana na ulimwengu.+
37 Uyafanye macho yangu yapite ili yasione jambo lisilofaa;+Unihifadhi hai katika njia yako mwenyewe.+
28 Lakini mimi ninawaambia ninyi kwamba kila mtu ambaye anaendelea kumtazama mwanamke+ na kumtamani tayari amefanya uzinzi+ pamoja naye moyoni mwake.+
16 kwa sababu kila kitu kilicho katika ulimwengu+—tamaa ya mwili+ na tamaa ya macho+ na mtu kujionyesha mali yake maishani+—hakitokani na Baba, bali hutokana na ulimwengu.+