Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 13:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na utakaposema moyoni mwako,+ ‘Kwa nini mambo haya yamenipata?’+ kwa sababu ya wingi wa makosa yako marinda yako yameondolewa yasiwe kifuniko;+ visigino vyako vimetendewa kijeuri.

  • Ezekieli 16:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nami nitakutia mkononi mwao, nao hakika watakibomoa kilima+ chako na vilele vyako hakika vitabomolewa,+ nao watakuvua mavazi+ yako na kuvichukua vyombo vyako vyenye urembo+ na kukuacha ukiwa uchi na tupu.

  • Hosea 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 ili nisimvue nguo awe uchi+ na kumtendea kama katika siku ya kuzaliwa kwake,+ na kwa kweli kumfanya kama nyika+ na kumfanya kama nchi isiyo na maji+ na kumuua kwa kiu.+

  • Ufunuo 17:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na zile pembe kumi+ ulizoona, na yule mnyama-mwitu,+ hawa watamchukia yule kahaba+ na kumfanya kuwa ukiwa na uchi, nao watakula sehemu zake zenye nyama na kumteketeza kabisa kwa moto.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki