Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Nawe utakuwa kitu cha kushangaza,+ neno la kimethali+ na shutuma kati ya vikundi vyote vya watu ambao Yehova atakuongoza kwao.

  • 1 Wafalme 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 mimi pia nitawakatilia mbali Israeli kutoka juu ya uso wa nchi ambayo nimewapa;+ na ile nyumba ambayo nimeitakasa kwa ajili ya jina langu nitaitupa kutoka mbele zangu,+ na Israeli hakika watakuwa neno la kimethali+ na shutuma kati ya vikundi vyote vya watu.

  • Maombolezo 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wote wanaopita barabarani wamekupigia makofi.+

      Wamepiga mluzi+ wa mshangao na kuendelea kutikisa vichwa+ vyao kwa sababu ya binti Yerusalemu, wakisema:

      “Je, hili ndilo lile jiji ambalo walikuwa wakisema hivi kwa habari zake, ‘Hili ndilo ukamilifu wa uzuri, furaha ya dunia yote’?”+

  • Ezekieli 22:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nchi zilizo karibu nawe na zile zilizo mbali nawe zitakudhihaki, wewe uliye na jina lisilo safi, uliyejaa mvurugo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki