Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 20:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “‘Sasa mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwanamume mwingine ni mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwenzake.+ Lazima auawe, mwanamume huyo mzinzi na vilevile mwanamke huyo mzinzi.+

  • Kumbukumbu la Torati 22:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 watamtoa nje msichana huyo kwenye mlango wa nyumba ya baba yake, nao watu wa jiji lake watampiga kwa mawe, naye lazima afe, kwa sababu amefanya upumbavu wenye kufedhehesha+ katika Israeli kwa kufanya ukahaba katika nyumba ya baba yake.+ Kwa hiyo lazima utaondolea mbali lililo baya kutoka katikati yako.+

  • Ezekieli 16:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 “ ‘Nami nitakuhukumu kwa hukumu za wanawake wazinzi+ na wanawake wanaomwaga damu,+ nami nitakupa damu ya ghadhabu na wivu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki