Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 30:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 wale wanaojitayarisha kushuka kwenda Misri+ na ambao hawakuuliza kutoka kinywani mwangu,+ ili kupata kinga katika ngome ya Farao na kupata kimbilio katika kivuli cha Misri!+

  • Isaya 36:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi Rabshake akawaambia: “Tafadhali, mwambieni Hezekia, ‘Mfalme mkuu,+ mfalme wa Ashuru,+ amesema hivi: “Ni tumaini gani hili ambalo umelitegemea?+

  • Yeremia 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na sasa kwa nini ujishughulishe na njia ya Misri+ ili kunywa maji ya Shihori?+ Na kwa nini ujishughulishe na njia ya Ashuru+ ili kunywa maji ya ule Mto?

  • Yeremia 37:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na kulikuwa na jeshi la Farao lililotoka Misri;+ na Wakaldayo waliokuwa wakizingira Yerusalemu wakasikia habari kuwahusu. Basi wakaondoka mbele ya Yerusalemu.+

  • Maombolezo 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Tukiwa tungali bado tunaishi, macho yetu huendelea kudhoofika bure kwa kutazamia msaada wetu.+

      Wakati wa kutazama kwetu tumetazamia taifa ambalo haliwezi kuleta wokovu.+

  • Hosea 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Efraimu ni kama njiwa+ mjinga, asiye na ufahamu.+ Wameita Misri;+ wameenda Ashuru.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki