2 wale wanaojitayarisha kushuka kwenda Misri+ na ambao hawakuuliza kutoka kinywani mwangu,+ ili kupata kinga katika ngome ya Farao na kupata kimbilio katika kivuli cha Misri!+
18 Na sasa kwa nini ujishughulishe na njia ya Misri+ ili kunywa maji ya Shihori?+ Na kwa nini ujishughulishe na njia ya Ashuru+ ili kunywa maji ya ule Mto?
5 Na kulikuwa na jeshi la Farao lililotoka Misri;+ na Wakaldayo waliokuwa wakizingira Yerusalemu wakasikia habari kuwahusu. Basi wakaondoka mbele ya Yerusalemu.+