6 Wote pamoja wataachiwa ndege mwenye kuwinda wa milimani na mnyama wa dunia.+ Na juu yao ndege mwenye kuwinda atakaa wakati wa kiangazi, na juu yao kila mnyama wa dunia atakaa wakati wa mavuno.+
5 Nami nitakuacha nyikani, wewe na samaki wote wa mifereji yako ya Nile.+ Utaanguka juu ya uso wa nchi.+ Hutaokotwa wala kukusanywa pamoja. Nitakutoa uwe chakula kwa wanyama-mwitu wa dunia na kwa viumbe vinavyoruka vya mbinguni.+
4 Nami nitakuacha juu ya nchi. Nitakutupa juu ya uso wa shamba.+ Nami nitavifanya viumbe vyote vinavyoruka vya mbinguni vikae juu yako, nami nitawashibisha wanyama-mwitu wa dunia nzima kutokana nawe.+