Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na hakika mimi nitaangamiza mahali penu patakatifu pa juu+ na kuvikatilia mbali vinara vyenu vya uvumba na kuilaza mizoga yenu wenyewe juu ya mizoga ya sanamu zenu za mavi;+ nayo nafsi yangu itawachukia ninyi.+

  • 1 Wafalme 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ndipo akaipaazia sauti ile madhabahu kwa neno la Yehova, akasema: “Ee madhabahu, madhabahu, Yehova amesema hivi, ‘Tazama! Mwana aliyezaliwa katika nyumba ya Daudi, ambaye jina lake ni Yosia!+ Naye atawatoa juu yako wawe dhabihu wale makuhani wa mahali pa juu wanaofukiza moshi wa dhabihu juu yako, naye atateketeza mifupa ya watu juu yako.’”+

  • Yeremia 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na, kwanza kabisa, nitalipa kiwango kamili cha kosa+ lao na cha dhambi yao, kwa sababu waliitia nchi yangu unajisi.+ Walikuwa wameujaza urithi wangu mizoga ya machukizo yao na vinyaa vyao.’”+

  • Ezekieli 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa hiyo nikaingia na kuanza kuona, na, tazama! kulikuwa na kila mfano+ wa vitu vyenye kutambaa na wanyama wenye kuchukiza,+ na sanamu zote za mavi za nyumba ya Israeli,+ michongo hiyo ikiwa juu ya ukuta kuuzunguka pande zote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki