Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 40:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Nalo wingu+ likaanza kulifunika hema la mkutano, na utukufu wa Yehova ukaijaza maskani.

  • 1 Wafalme 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na ikawa kwamba makuhani walipoondoka mahali patakatifu, wingu+ likaijaza nyumba ya Yehova.

  • 2 Mambo ya Nyakati 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 na makuhani hawakuweza kusimama ili kuhudumu kwa sababu ya lile wingu;+ kwa maana utukufu+ wa Yehova uliijaza nyumba ya Mungu wa kweli.

  • Isaya 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na huyu akamwita yule na kusema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova wa majeshi.+ Utukufu wake umejaa katika dunia yote.”

  • Ezekieli 44:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye sasa akanileta kupitia lango la kaskazini mpaka mbele ya ile Nyumba, nipate kuona, na, tazama! utukufu wa Yehova ulikuwa umeijaza nyumba ya Yehova.+ Nami nikaanguka kifudifudi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki