Kutoka 40:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nalo wingu+ likaanza kulifunika hema la mkutano, na utukufu wa Yehova ukaijaza maskani. 1 Wafalme 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na ikawa kwamba makuhani walipoondoka mahali patakatifu, wingu+ likaijaza nyumba ya Yehova. 2 Mambo ya Nyakati 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 na makuhani hawakuweza kusimama ili kuhudumu kwa sababu ya lile wingu;+ kwa maana utukufu+ wa Yehova uliijaza nyumba ya Mungu wa kweli. Isaya 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na huyu akamwita yule na kusema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova wa majeshi.+ Utukufu wake umejaa katika dunia yote.” Ezekieli 44:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye sasa akanileta kupitia lango la kaskazini mpaka mbele ya ile Nyumba, nipate kuona, na, tazama! utukufu wa Yehova ulikuwa umeijaza nyumba ya Yehova.+ Nami nikaanguka kifudifudi.+
14 na makuhani hawakuweza kusimama ili kuhudumu kwa sababu ya lile wingu;+ kwa maana utukufu+ wa Yehova uliijaza nyumba ya Mungu wa kweli.
3 Na huyu akamwita yule na kusema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova wa majeshi.+ Utukufu wake umejaa katika dunia yote.”
4 Naye sasa akanileta kupitia lango la kaskazini mpaka mbele ya ile Nyumba, nipate kuona, na, tazama! utukufu wa Yehova ulikuwa umeijaza nyumba ya Yehova.+ Nami nikaanguka kifudifudi.+