Kumbukumbu la Torati 31:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana mimi—mimi najua vema uasi+ wenu na shingo yenu ngumu.+ Ikiwa wakati ambapo ningali hai pamoja nanyi leo, mmekuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova,+ itakuwaje basi baada ya kifo changu! Isaya 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini mkikataa+ na kwa kweli muwe waasi, mtaliwa na upanga; kwa maana kinywa cha Yehova kimesema hayo.”+ Isaya 30:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana wao ni watu waasi,+ wana wasiosema kweli,+ wana ambao hawataki kuisikia sheria ya Yehova;+ Ezekieli 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nao, ikiwa watasikia+ au watakataa+—kwa maana wao ni nyumba yenye kuasi+—hakika watajua pia kwamba nabii alikuwako katikati yao.+
27 Kwa maana mimi—mimi najua vema uasi+ wenu na shingo yenu ngumu.+ Ikiwa wakati ambapo ningali hai pamoja nanyi leo, mmekuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova,+ itakuwaje basi baada ya kifo changu!
20 Lakini mkikataa+ na kwa kweli muwe waasi, mtaliwa na upanga; kwa maana kinywa cha Yehova kimesema hayo.”+
9 Kwa maana wao ni watu waasi,+ wana wasiosema kweli,+ wana ambao hawataki kuisikia sheria ya Yehova;+
5 Nao, ikiwa watasikia+ au watakataa+—kwa maana wao ni nyumba yenye kuasi+—hakika watajua pia kwamba nabii alikuwako katikati yao.+