Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 21:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Manase pia alimwaga kwa wingi sana damu isiyo na hatia,+ mpaka alipolijaza Yerusalemu kutoka mwisho huu mpaka mwisho ule, mbali na dhambi yake aliyosababisha Yuda kutenda dhambi kwa kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+

  • Yeremia 2:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Pia, alama za damu za nafsi+ za maskini wasio na hatia+ zimepatikana katika pindo za nguo zako. Sikuzipata katika tendo la kuvunja na kuingia, lakini ziko juu ya hizo zote.+

  • Ezekieli 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “ ‘Fanya mnyororo,+ kwa maana nchi yenyewe imejaa hukumu yenye madoa ya damu+ na jiji lenyewe limejaa jeuri.+

  • Ezekieli 22:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 umekuwa na hatia kwa damu yako ambayo umemwaga,+ na umekuwa usiye safi kwa sanamu zako za mavi ambazo umefanya.+ Nawe unazileta siku zako karibu, nawe utaifikia miaka yako. Ndiyo sababu lazima nikufanye kuwa kitu cha kushutumiwa kwa mataifa na cha kudhihakiwa katika nchi zote.+

  • Mathayo 23:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 ili ije juu yenu damu yote ya uadilifu iliyomwagwa juu ya dunia,+ tangu damu+ ya Abeli+ mwadilifu mpaka damu ya Zekaria mwana wa Barakia, ambaye mlimuua katikati ya patakatifu na madhabahu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki