2 Wafalme 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na mfalme wa Babiloni akawapiga na kuwaua+ kule Ribla katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+ 2 Mambo ya Nyakati 36:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo akaleta juu yao mfalme wa Wakaldayo,+ ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga+ katika nyumba ya patakatifu pao,+ wala hakumhurumia kijana wala bikira, mzee wala mkongwe.+ Kila kitu Yeye alikitia mkononi mwake. Yeremia 52:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na mfalme wa Babiloni akawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake,+ na pia wakuu wote wa Yuda akawaua kule Ribla.+
21 Na mfalme wa Babiloni akawapiga na kuwaua+ kule Ribla katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+
17 Kwa hiyo akaleta juu yao mfalme wa Wakaldayo,+ ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga+ katika nyumba ya patakatifu pao,+ wala hakumhurumia kijana wala bikira, mzee wala mkongwe.+ Kila kitu Yeye alikitia mkononi mwake.
10 Na mfalme wa Babiloni akawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake,+ na pia wakuu wote wa Yuda akawaua kule Ribla.+