33 Na Farao Neko+ akamtia kifungoni+ kule Ribla+ katika nchi ya Hamathi, ili kumzuia asitawale katika Yerusalemu, kisha akaitoza+ nchi talanta mia moja za fedha+ na talanta moja ya dhahabu.+
4 Zaidi ya hayo, mfalme+ wa Misri akamfanya Eliakimu+ ndugu yake kuwa mfalme juu ya Yuda na Yerusalemu na kulibadili jina lake kuwa Yehoyakimu; lakini Neko+ akamchukua Yehoahazi ndugu yake na kumpeleka Misri.+
11 Kwa maana Yehova amesema hivi kumhusu Shalumu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda anayetawala badala ya Yosia baba yake,+ ambaye ameondoka mahali hapa, ‘Hatarudi hapo tena.