Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 9:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 wewe mwenyewe, katika rehema zako nyingi hukuwaacha+ nyikani. Nguzo ya wingu haikuondoka juu yao wakati wa mchana ili kuwaongoza njiani,+ wala nguzo ya moto haikuondoka juu yao usiku ili kuwaangazia njia wanayopaswa kuipitia.+

  • Zaburi 78:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Lakini alikuwa mwenye rehema;+ akawa akilifunika kosa+ wala hakuharibu.+

      Na mara nyingi akageuzia mbali hasira yake,+

      Naye akawa haiamshi ghadhabu yake yote.

  • Yeremia 30:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kwa maana mimi niko pamoja nawe,” asema Yehova, “ili nikuokoe;+ lakini nitafanya maangamizi kati ya mataifa yote ambako nimekutawanya.+ Hata hivyo, kwako sitafanya maangamizi.+ Nami nitakurekebisha kwa kiwango kinachofaa, kwa kuwa sitakuacha kamwe bila kukuadhibu.”+

  • Maombolezo 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ni kutokana na matendo ya fadhili zenye upendo+ za Yehova kwamba hatujaisha,+ kwa maana hakika rehema zake hazitakoma.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki