Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakati siku zako zitakapotimia,+ nawe ulale pamoja na mababu zako,+ ndipo nitakapoinua uzao wako baada yako, ambao utatoka ndani ya viuno vyako; nami kwa kweli nitaufanya imara ufalme wake.+

  • 2 Samweli 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa maana je, sivyo ilivyo nyumba yangu kwa Mungu?+

      Kwa sababu amenipa agano+ linalodumu mpaka wakati usio na kipimo,

      Likiwa limepangwa kwa utaratibu katika kila kitu na likiwa salama.+

      Kwa sababu ndilo wokovu+ wangu wote na kupendezwa kwangu kwote,

      Je, hiyo siyo sababu atalifanya likue?+

  • Zaburi 89:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nitahifadhi fadhili zangu zenye upendo kwake mpaka wakati usio na kipimo,+

      Nalo agano langu litakuwa lenye uaminifu kwake.+

  • Luka 1:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 naye atatawala akiwa mfalme juu ya nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”+

  • Luka 22:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 nami ninafanya agano pamoja nanyi, sawa na vile Baba yangu alivyofanya agano+ pamoja nami, kwa ajili ya ufalme,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki