Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na mwili wake ulikuwa kama krisolito,+ na uso wake kama umeme,+ na macho yake kama mienge yenye kuwaka moto,+ na mikono yake na miguu yake ilionekana kama shaba iliyong’arishwa,+ na sauti ya maneno yake ilikuwa kama sauti ya umati.

  • Danieli 10:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na, tazama! mtu fulani anayefanana na wana wa binadamu akaigusa midomo yangu,+ nami nikaanza kufungua kinywa changu na kusema+ na kumwambia yule aliyekuwa amesimama mbele yangu: “Ee bwana wangu,+ kwa sababu ya maono yale nilikuwa na misukosuko, wala sikubaki na nguvu zozote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki