Mwanzo 49:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Yosefu ni chipukizi la mti unaozaa matunda,+ chipukizi la mti unaozaa matunda kando ya chemchemi,+ ambao husukuma mbele matawi yake juu ya ukuta.+ Hosea 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Israeli ni mzabibu unaoharibika.+ Yeye huendelea kutokeza matunda kwa ajili yake mwenyewe.+ Naye amezidisha madhabahu zake kulingana na wingi wa matunda yake.+ Wao huweka nguzo nzuri+ kulingana na wema wa nchi yake.
22 “Yosefu ni chipukizi la mti unaozaa matunda,+ chipukizi la mti unaozaa matunda kando ya chemchemi,+ ambao husukuma mbele matawi yake juu ya ukuta.+
10 “Israeli ni mzabibu unaoharibika.+ Yeye huendelea kutokeza matunda kwa ajili yake mwenyewe.+ Naye amezidisha madhabahu zake kulingana na wingi wa matunda yake.+ Wao huweka nguzo nzuri+ kulingana na wema wa nchi yake.