Zaburi 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ikiwa mtu yeyote hatarudi,+ Yeye ataunoa upanga wake,+Hakika ataupinda upinde wake, naye atauweka tayari ili kufyatuliwa.+ Maombolezo 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Amekanyaga upinde wake kama adui.+ Mkono wake wa kuume+ umesimama mahali pakeKama mpinzani,+ naye alizidi kuua wote wanaotamanika machoni.+Kama moto, amemwaga ghadhabu+ yake katika hema+ la binti Sayuni.
12 Ikiwa mtu yeyote hatarudi,+ Yeye ataunoa upanga wake,+Hakika ataupinda upinde wake, naye atauweka tayari ili kufyatuliwa.+
4 Amekanyaga upinde wake kama adui.+ Mkono wake wa kuume+ umesimama mahali pakeKama mpinzani,+ naye alizidi kuua wote wanaotamanika machoni.+Kama moto, amemwaga ghadhabu+ yake katika hema+ la binti Sayuni.