Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 11:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ndipo Yehova akashuka katika wingu,+ akasema naye,+ akachukua sehemu ya roho+ iliyokuwa juu yake na kuiweka juu ya kila mmoja wa wale wanaume wazee 70. Na ikawa kwamba mara tu roho hiyo ilipotua juu yao, ndipo wakaanza kutenda kama manabii; lakini hawakufanya hivyo tena.+

  • Isaya 63:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na mtu akaanza kuzikumbuka siku za zamani za kale, Musa mtumishi wake: “Yuko wapi Yeye aliyewapandisha kutoka katika bahari+ pamoja na wachungaji wa kundi lake?+ Yuko wapi Yeye aliyetia ndani yake roho Yake takatifu?+

  • Zekaria 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi akajibu na kuniambia: “Hili ndilo neno la Yehova kwa Zerubabeli, akisema, “Si kwa jeshi,+ wala kwa nguvu,+ bali kwa roho yangu,”+ Yehova wa majeshi amesema.

  • Yohana 14:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 nami nitamwomba Baba naye atawapa ninyi msaidizi mwingine awe pamoja nanyi milele,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki