4 Naye atawahukumu kwa uadilifu watu wa hali ya chini,+ atakaripia kwa unyoofu kwa ajili ya watu wapole wa dunia. Naye ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake;+ na kumuua mwovu kwa roho ya midomo yake.+
15 Chukieni yaliyo mabaya, pendeni yaliyo mema,+ na mwipatie haki nafasi langoni.+ Huenda ikawa Yehova Mungu wa majeshi atawapa kibali+ mabaki ya Yosefu.’+