Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 29:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya nchi hiyo kwa kuleta juu yake laana yote iliyoandikwa katika kitabu hiki.+

  • 2 Wafalme 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa sababu wameniacha na kwenda kuifukizia moshi wa dhabihu miungu mingine+ ili kunitia uchungu kwa kazi zote za mikono yao,+ na ghadhabu yangu imewashwa juu ya mahali hapa wala haitazimwa.’”’+

  • Yeremia 44:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa hiyo ghadhabu yangu, na hasira yangu, ilimwagwa nayo ikateketeza katika majiji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu;+ nazo zikawa mahali palipoharibiwa, mahame yenye ukiwa, kama ilivyo leo hii.’+

  • Zekaria 8:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Kwa maana Yehova wa majeshi asema hivi, ‘ “Kama vile nilivyoazimia akilini kuwatendea ninyi msiba kwa sababu mababu zenu walinikasirisha,”+ Yehova wa majeshi asema, “wala sikujuta,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki