17 kwa sababu wameniacha na kwenda kuifukizia moshi wa dhabihu miungu mingine+ ili kunitia uchungu kwa kazi zote za mikono yao,+ na ghadhabu yangu imewashwa juu ya mahali hapa wala haitazimwa.’”’+
6 Kwa hiyo ghadhabu yangu, na hasira yangu, ilimwagwa nayo ikateketeza katika majiji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu;+ nazo zikawa mahali palipoharibiwa, mahame yenye ukiwa, kama ilivyo leo hii.’+
14 “Kwa maana Yehova wa majeshi asema hivi, ‘ “Kama vile nilivyoazimia akilini kuwatendea ninyi msiba kwa sababu mababu zenu walinikasirisha,”+ Yehova wa majeshi asema, “wala sikujuta,+