17 Na Nuru+ ya Israeli atakuwa moto,+ na Mtakatifu wake mwali wa moto;+ nao utawaka na kuteketeza magugu yake na vichaka vyake vya miiba+ katika siku moja.
18 Na nyumba ya Yakobo itakuwa moto,+ nyumba ya Yosefu itakuwa mwali wa moto, nyumba ya Esau itakuwa kama majani makavu;+ nao watayateketeza na kuyameza. Na hakutakuwapo waokokaji katika nyumba ya Esau;+ kwa maana Yehova mwenyewe amesema hayo.