Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 11:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Tazama! Mtu mwadilifu—katika dunia atapewa thawabu.+ Basi mwovu na mtenda-dhambi watapewa thawabu hata zaidi!+

  • Yeremia 25:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa maana, tazama! ninaanza kuleta msiba+ juu ya jiji ambalo linaitwa kwa jina langu, nanyi, je, mnapaswa kwa vyovyote kuachwa bila kuadhibiwa?”’+

      “‘Hamtaachwa bila kuadhibiwa, kwa maana kuna upanga ambao ninaita juu ya wakaaji wote wa dunia,’ asema Yehova wa majeshi.

  • Ezekieli 20:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Nawe utauambia msitu wa kusini, ‘Sikia neno la Yehova. Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Tazama, ninawasha moto juu yako,+ nao utateketeza ndani yako kila mti ambao ungali mbichi na kila mti uliokauka.+ Mwali huo wa moto unaowaka hautazimwa,+ na kwa huo nyuso zote zitateketezwa kutoka kusini mpaka kaskazini.+

  • 1 Petro 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana ni wakati uliowekwa wa hukumu kuanza na nyumba ya Mungu.+ Sasa ikiwa inaanza na sisi kwanza,+ basi mwisho wa wale wasioitii habari njema ya Mungu utakuwaje?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki