Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 5:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Kwa kweli kabisa ninawaambia ninyi, Saa inakuja, nayo ipo sasa, wakati ambapo wafu+ wataisikia sauti+ ya Mwana wa Mungu na wale ambao wamesikiliza wataishi.+

  • Waroma 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wala msiendelee kuvitoa viungo vyenu kwa dhambi+ kuwa silaha za ukosefu wa uadilifu,+ bali jitoeni wenyewe kwa Mungu kama walio hai+ kutoka kwa wafu, pia viungo vyenu kwa Mungu kuwa silaha+ za uadilifu.

  • Waefeso 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Zaidi ya hilo, ninyi ndio ambao Mungu alifanya kuwa hai ingawa mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu,+

  • Waefeso 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 alitufanya hai pamoja na Kristo, tulipokuwa wafu katika makosa+—kwa fadhili zisizostahiliwa ninyi mmeokolewa+—

  • Ufunuo 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Na kwa malaika+ wa kutaniko katika Sardi andika: Haya ndiyo mambo anayosema yeye aliye na zile roho saba+ za Mungu na zile nyota saba,+ ‘Mimi nayajua matendo yako, kwamba una jina kuwa uko hai, lakini umekufa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki