25 “Kwa kweli kabisa ninawaambia ninyi, Saa inakuja, nayo ipo sasa, wakati ambapo wafu+ wataisikia sauti+ ya Mwana wa Mungu na wale ambao wamesikiliza wataishi.+
13 Wala msiendelee kuvitoa viungo vyenu kwa dhambi+ kuwa silaha za ukosefu wa uadilifu,+ bali jitoeni wenyewe kwa Mungu kama walio hai+ kutoka kwa wafu, pia viungo vyenu kwa Mungu kuwa silaha+ za uadilifu.
3“Na kwa malaika+ wa kutaniko katika Sardi andika: Haya ndiyo mambo anayosema yeye aliye na zile roho saba+ za Mungu na zile nyota saba,+ ‘Mimi nayajua matendo yako, kwamba una jina kuwa uko hai, lakini umekufa.+