Yoshua 24:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Na sasa mwogopeni Yehova+ na kumtumikia kwa njia isiyo na kosa na katika kweli,+ nanyi ondoeni miungu ambayo mababu zenu waliitumikia ng’ambo ile nyingine ya Mto na katika Misri,+ mkamtumikie Yehova. 1 Samweli 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ila tu mwogopeni+ Yehova, nanyi mkamtumikie katika kweli kwa moyo wenu wote;+ kwa maana angalieni jinsi amewafanyia mambo makuu.+ Zaburi 25:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nitembeze katika kweli yako na kunifundisha,+Kwa maana wewe ni Mungu wangu wa wokovu.+ ו [Waw]Nimekutumainia mchana kutwa.+ Zaburi 86:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Unifundishe, Ee Yehova, juu ya njia yako.+Nitatembea katika kweli yako.+Unganisha moyo wangu ili kuliogopa jina lako.+ Marko 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wao huniabudu bure, kwa sababu wao hufundisha amri za wanadamu kuwa mafundisho.’+
14 “Na sasa mwogopeni Yehova+ na kumtumikia kwa njia isiyo na kosa na katika kweli,+ nanyi ondoeni miungu ambayo mababu zenu waliitumikia ng’ambo ile nyingine ya Mto na katika Misri,+ mkamtumikie Yehova.
24 Ila tu mwogopeni+ Yehova, nanyi mkamtumikie katika kweli kwa moyo wenu wote;+ kwa maana angalieni jinsi amewafanyia mambo makuu.+
5 Nitembeze katika kweli yako na kunifundisha,+Kwa maana wewe ni Mungu wangu wa wokovu.+ ו [Waw]Nimekutumainia mchana kutwa.+
11 Unifundishe, Ee Yehova, juu ya njia yako.+Nitatembea katika kweli yako.+Unganisha moyo wangu ili kuliogopa jina lako.+