10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+
2 “Nawe, Ee Bethlehemu Efratha,+ wewe uliye mdogo sana kuwa kati ya maelfu ya Yuda,+ kutoka kwako+ atanijia yeye atakayekuwa mtawala katika Israeli,+ ambaye asili yake ni kutoka nyakati za kale, kutoka siku za wakati usio na kipimo.+
3 Kwa kuwa asiye na baba, asiye na mama, bila ukoo, akiwa hana mwanzo wa siku+ wala mwisho wa uzima, bali akiwa amefanywa kama Mwana wa Mungu,+ anadumu akiwa kuhani daima.+