2 Ndipo wakaanza kumshtaki,+ wakisema: “Tulimkuta mtu huyu akipindua+ taifa letu na kuwakataza watu wasimlipe Kaisari kodi+ na kusema kwamba yeye mwenyewe ni Kristo mfalme.”+
5 Kwa maana tumemwona mwanamume huyu kuwa mtu msumbufu+ na mwenye kufanya uchochezi wa uasi+ kati ya Wayahudi wote katika dunia yote inayokaliwa na kuwa kiongozi mkuu wa madhehebu ya Wanazareti,+