Mathayo 28:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 na kuwafundisha+ kushika+ mambo yote ambayo nimewaamuru ninyi.+ Na, tazama! mimi nipo pamoja nanyi+ siku zote mpaka umalizio wa mfumo wa mambo.”+ Luka 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini ilipokuwa mchana akawaita wanafunzi wake akachagua kutoka kati yao kumi na wawili, ambao pia aliwaita “mitume”:+ Yohana 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ninyi hamkunichagua mimi, bali mimi niliwachagua, nami niliwaweka ninyi msonge mbele na kuendelea kuzaa matunda+ na kwamba matunda yenu yapate kukaa; ili hata mkimwomba Baba jambo gani katika jina langu, apate kuwapa hilo.+
20 na kuwafundisha+ kushika+ mambo yote ambayo nimewaamuru ninyi.+ Na, tazama! mimi nipo pamoja nanyi+ siku zote mpaka umalizio wa mfumo wa mambo.”+
13 Lakini ilipokuwa mchana akawaita wanafunzi wake akachagua kutoka kati yao kumi na wawili, ambao pia aliwaita “mitume”:+
16 Ninyi hamkunichagua mimi, bali mimi niliwachagua, nami niliwaweka ninyi msonge mbele na kuendelea kuzaa matunda+ na kwamba matunda yenu yapate kukaa; ili hata mkimwomba Baba jambo gani katika jina langu, apate kuwapa hilo.+