Yohana 5:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 na kutoka, wale waliotenda mambo mema kwenye ufufuo wa uzima,+ wale waliokuwa na zoea la kutenda mambo maovu kwenye ufufuo wa hukumu.+ Yohana 11:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye ufufuo na uzima.+ Yule anayeniamini, hata akifa, atarudi kwenye uzima;+ 1 Wakorintho 15:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi ikiwa Kristo anahubiriwa kwamba amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ kwa nini wengine kati yenu wanasema hakuna ufufuo wa wafu?+ Ufunuo 20:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mwenye furaha+ na mtakatifu+ ni yeyote aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; kifo cha pili+ hakina mamlaka juu ya hao,+ bali watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka elfu.+
29 na kutoka, wale waliotenda mambo mema kwenye ufufuo wa uzima,+ wale waliokuwa na zoea la kutenda mambo maovu kwenye ufufuo wa hukumu.+
25 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye ufufuo na uzima.+ Yule anayeniamini, hata akifa, atarudi kwenye uzima;+
12 Basi ikiwa Kristo anahubiriwa kwamba amefufuliwa kutoka kwa wafu,+ kwa nini wengine kati yenu wanasema hakuna ufufuo wa wafu?+
6 Mwenye furaha+ na mtakatifu+ ni yeyote aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; kifo cha pili+ hakina mamlaka juu ya hao,+ bali watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka elfu.+