25 Kwa kweli, kutahiriwa+ kuna faida ikiwa tu unazoea kuifuata sheria;+ lakini ikiwa wewe ni mvunjaji wa sheria,+ kutahiriwa kwako kumekuwa kutotahiriwa.+
10 Kwa maana wote wanaotegemea matendo ya sheria wako chini ya laana; kwa maana imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu asiyedumu katika mambo yote yaliyoandikwa katika kitabu cha kukunjwa cha Sheria ili ayafanye.”+