Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 102:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Zamani za kale uliiweka misingi ya dunia,

      Na mbingu ni kazi ya mikono yako.+

  • Isaya 42:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Hivi ndivyo anavyosema Mungu wa kweli, Yehova,

      Muumba wa mbingu na Mkuu aliyezitandaza,+

      Yule aliyeitandaza dunia na mazao yake,+

      Yule anayewapa pumzi watu waliomo+

      Na kuwapa roho wale wanaotembea humo:+

  • Isaya 45:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana Yehova,

      Muumba wa mbingu,+ Mungu wa kweli,

      Yule aliyeiumba dunia, Yule aliyeitengeneza na kuifanya imara kabisa,+

      Ambaye hakuiumba tu bila sababu,* lakini aliiumba ili ikaliwe, anasema hivi:+

      “Mimi ni Yehova, wala hakuna mwingine.

  • Waroma 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana sifa zake zisizoonekana, zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea, kwa sababu zinaeleweka kupitia vitu vilivyoumbwa,+ yaani, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ hivi kwamba hawana sababu ya kujitetea.

  • Waebrania 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na: “Hapo mwanzoni, Ee Bwana, uliiweka misingi ya dunia, na mbingu ni kazi za mikono yako.

  • Ufunuo 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Unastahili, Ee Yehova* Mungu wetu, kupokea utukufu+ na heshima+ na nguvu,+ kwa sababu uliumba vitu vyote,+ na kwa sababu ya mapenzi yako vilitokea navyo vikaumbwa.”

  • Ufunuo 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 naye akaapa kwa Yule anayeishi milele na milele,+ aliyeiumba mbingu na vitu vilivyo ndani yake na dunia na vitu vilivyo ndani yake na bahari na vitu vilivyo ndani yake:+ “Hakuna kukawia tena.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki