Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Utaiweka mbele ya pazia lililo karibu na sanduku la Ushahidi,+ mbele ya kifuniko kilicho juu ya sanduku la Ushahidi, mahali nitakapokutokea.+

  • Mambo ya Walawi 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova akamwambia Musa: “Mwambie Haruni ndugu yako asiingie mahali patakatifu+ nyuma ya pazia+ mbele ya kifuniko cha sanduku la agano wakati wowote tu, asije akafa,+ kwa sababu nitatokea katika wingu juu ya kifuniko hicho.+

  • Hesabu 7:89
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 89 Kila mara Musa alipoingia katika hema la mkutano kuongea na Mungu,+ alisikia sauti ikizungumza naye kutoka juu ya kifuniko+ cha sanduku la Ushahidi, kutoka katikati ya wale makerubi wawili;+ Mungu aliongea naye.

  • Waamuzi 20:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Baada ya hayo, wanaume Waisraeli wakaomba ushauri wa Yehova,+ kwa kuwa sanduku la agano la Mungu wa kweli lilikuwa huko siku hizo.

  • Zaburi 80:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 80 Ee Mchungaji wa Israeli, sikiliza,

      Wewe unayemwongoza Yosefu kama kundi la kondoo.+

      Wewe unayeketi kwenye kiti cha ufalme juu ya* makerubi,+

      Angaza.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki