2 Yehova akamwambia Musa: “Mwambie Haruni ndugu yako asiingie mahali patakatifu+ nyuma ya pazia+ mbele ya kifuniko cha sanduku la agano wakati wowote tu, asije akafa,+ kwa sababu nitatokea katika wingu juu ya kifuniko hicho.+
89 Kila mara Musa alipoingia katika hema la mkutano kuongea na Mungu,+ alisikia sauti ikizungumza naye kutoka juu ya kifuniko+ cha sanduku la Ushahidi, kutoka katikati ya wale makerubi wawili;+ Mungu aliongea naye.