-
Waebrania 9:24, 25Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
24 Kwa maana Kristo hakuingia mahali patakatifu palipotengenezwa kwa mikono,+ ambapo ni mfano wa uhalisi,+ bali aliingia mbinguni kwenyewe,+ hivi kwamba sasa anaonekana mbele za* Mungu kwa ajili yetu.+ 25 Hilo halikufanywa ili ajitoe mwenyewe mara nyingi, kama kuhani mkuu anavyoingia mahali patakatifu mwaka baada ya mwaka+ akiwa na damu ambayo si yake mwenyewe.
-
-
Waebrania 10:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 kwa maana damu ya ng’ombe dume na ya mbuzi haiwezi kuondoa dhambi.
-