-
Mwanzo 8:20, 21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Kisha Noa akamjengea Yehova madhabahu,+ akachukua baadhi ya wanyama walio safi na baadhi ya viumbe wanaoruka walio safi,+ akawatoa kuwa dhabihu za kuteketezwa juu ya madhabahu+ hiyo. 21 Na Yehova akaanza kusikia harufu ya kupendeza.* Kwa hiyo Yehova akasema moyoni mwake: “Sitailaani ardhi+ tena kwa sababu ya mwanadamu, kwa maana mwelekeo wa moyo wa mwanadamu ni mbaya tangu wakati wa ujana;+ nami sitamwangamiza tena kamwe kila kiumbe aliye hai kama nilivyofanya.+
-
-
Hesabu 15:2, 3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Hatimaye mtakapoingia katika nchi ninayowapa mwishi ndani yake,+ 3 na kumtolea Yehova dhabihu inayochomwa kwa moto kutoka kati ya mifugo au kundi—iwe ni dhabihu ya kuteketezwa+ au dhabihu ya kutimiza nadhiri ya pekee au toleo la hiari+ au dhabihu mnayotoa wakati wa sherehe zenu za majira,+ ili kumtolea Yehova harufu inayompendeza*+—
-