Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 9:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nawe, ikiwa utatembea mbele zangu kama Daudi baba yako alivyotembea,+ kwa utimilifu wa moyo+ na kwa unyoofu,+ kwa kutenda mambo yote niliyokuamuru,+ nawe ukitii masharti yangu na sheria* zangu,+ 5 ndipo nitakapoimarisha kiti chako cha ufalme juu ya Israeli milele, kama nilivyomwahidi Daudi baba yako, kwa kusema, ‘Hutakosa kamwe mwanamume wa uzao wako atakayeketi kwenye kiti cha ufalme cha Israeli.’+

  • Zaburi 89:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Yako wapi matendo yako ya zamani ya upendo mshikamanifu, Ee Yehova,

      Ambayo ulimwapia Daudi katika uaminifu wako?+

  • Zaburi 132:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Huko nitazifanya nguvu za Daudi zikue.*

      Nimemtayarishia taa mtiwa-mafuta wangu.+

  • Isaya 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa wingi wa utawala wake*

      Na amani, hakutakuwa na mwisho,+

      Kwenye kiti cha ufalme cha Daudi+ na juu ya ufalme wake

      Ili kuuimarisha kabisa+ na kuutegemeza

      Kupitia haki+ na uadilifu,+

      Kuanzia sasa mpaka milele.

      Bidii ya Yehova wa majeshi itafanya hayo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki