Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 6:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Chumba hicho cha ndani zaidi kilikuwa na urefu wa mikono 20, upana wa mikono 20, na kimo cha mikono 20;+ naye akakifunika kwa dhahabu safi; akaifunika madhabahu+ kwa mbao za mierezi.

  • 1 Wafalme 6:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Katika chumba cha ndani zaidi alitengeneza makerubi wawili+ kwa mbao za msonobari,* kila kerubi alikuwa na kimo cha mikono kumi.+

  • 1 Wafalme 8:6-9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kisha makuhani wakalileta sanduku la agano la Yehova mahali pake,+ katika chumba cha ndani zaidi cha nyumba, yaani, Patakatifu Zaidi, chini ya mabawa ya makerubi.+

      7 Kwa hiyo mabawa ya makerubi yalikuwa yamenyooshwa juu ya mahali ambapo Sanduku liliwekwa, hivi kwamba makerubi hao walilifunika Sanduku na fito zake.+ 8 Fito hizo+ zilikuwa ndefu sana hivi kwamba ncha zake zilionekana kutoka Patakatifu mbele ya chumba cha ndani zaidi, lakini hazikuonekana kutoka upande wa nje. Nazo ziko huko mpaka leo hii. 9 Hakukuwa na kitu kingine ndani ya Sanduku hilo isipokuwa yale mabamba mawili ya mawe+ ambayo Musa aliyaweka humo+ kule Horebu, Yehova alipofanya agano+ na Waisraeli walipokuwa wakitoka nchini Misri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki