2 Samweli 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo Daudi akamwambia Nathani: “Nimemtendea Yehova dhambi.”+ Nathani akamwambia Daudi: “Yehova naye amekusamehe dhambi uliyotenda.*+ Hutakufa.+ Zaburi 32:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwishowe nikaungama dhambi yangu kwako;Sikufunika kosa langu.+ Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+ Nawe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ (Sela) Methali 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Anayefunika makosa yake hatafanikiwa,+Lakini yeyote anayeyaungama na kuyaacha ataonyeshwa rehema.+ Luka 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kisha yule mwana akamwambia, ‘Baba, nimetenda dhambi dhidi ya mbingu na dhidi yako.+ Sistahili tena kuitwa mwanao.’ 1 Yohana 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tukiungama dhambi zetu, yeye ni mwaminifu na mwadilifu naye atatusamehe dhambi zetu na kutusafisha ukosefu wote wa uadilifu.+
13 Ndipo Daudi akamwambia Nathani: “Nimemtendea Yehova dhambi.”+ Nathani akamwambia Daudi: “Yehova naye amekusamehe dhambi uliyotenda.*+ Hutakufa.+
5 Mwishowe nikaungama dhambi yangu kwako;Sikufunika kosa langu.+ Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+ Nawe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ (Sela)
13 Anayefunika makosa yake hatafanikiwa,+Lakini yeyote anayeyaungama na kuyaacha ataonyeshwa rehema.+
21 Kisha yule mwana akamwambia, ‘Baba, nimetenda dhambi dhidi ya mbingu na dhidi yako.+ Sistahili tena kuitwa mwanao.’
9 Tukiungama dhambi zetu, yeye ni mwaminifu na mwadilifu naye atatusamehe dhambi zetu na kutusafisha ukosefu wote wa uadilifu.+