Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika mwaka wa 480 baada ya Waisraeli* kutoka katika nchi ya Misri,+ mwaka wa nne baada ya Sulemani kuwekwa kuwa mfalme wa Israeli, mwezi wa Zivu*+ (yaani, mwezi wa pili), Sulemani alianza kujenga nyumba ya Yehova.*+

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Basi wakaliingiza Sanduku la Mungu wa kweli na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amepiga ili aliweke humo;+ nao wakatoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+

  • Ezra 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Pia, Mfalme Koreshi alitoa katika hekalu la Babiloni vyombo vya dhahabu na fedha vya nyumba ya Mungu ambavyo Nebukadneza alikuwa amevichukua hekaluni huko Yerusalemu, na kuvileta katika hekalu la Babiloni.+ Alivikabidhi kwa mtu aitwaye Sheshbazari,*+ ambaye Koreshi alimteua kuwa gavana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki