Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 5:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Laiti sikuzote wangekuwa na moyo wenye mwelekeo wa kuniogopa+ na kushika amri zangu zote;+ basi mambo yangewaendea vyema wao na wana wao milele!+

  • Isaya 48:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yehova, Mkombozi wako, Mtakatifu wa Israeli,+ anasema hivi:

      “Mimi, Yehova, ni Mungu wako,

      Ninayekufundisha ili ujifaidi mwenyewe,*+

      Ninayekuongoza katika njia unayopaswa kutembea.+

      18 Laiti ungesikiliza amri zangu!+

      Ndipo amani yako ingekuwa kama mto+

      Na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki