17 Yehova, Mkombozi wako, Mtakatifu wa Israeli,+ anasema hivi:
“Mimi, Yehova, ni Mungu wako,
Ninayekufundisha ili ujifaidi mwenyewe,+
Ninayekuongoza katika njia unayopaswa kutembea.+
18 Laiti ungesikiliza amri zangu!+
Ndipo amani yako ingekuwa kama mto+
Na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.+