Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha Yehova akamtokea Abramu na kumwambia: “Nitaupa uzao wako*+ nchi hii.”+ Basi akamjengea Yehova madhabahu huko, aliyekuwa amemtokea.

  • Mwanzo 15:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kisha Mungu akamwambia Abramu: “Ujue kwa hakika kwamba wazao* wako watakuwa wageni katika nchi ambayo si yao na kwamba watu wa nchi hiyo watawafanya kuwa watumwa na kuwatesa kwa miaka 400.+ 14 Lakini mimi nitalihukumu taifa watakalolitumikia,+ na baada ya hapo watatoka huko na mali nyingi.+

  • Kutoka 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mwishowe Mungu akasikia kilio chao cha uchungu,+ naye akakumbuka agano lake alilofanya na Abrahamu, Isaka, na Yakobo.+

  • Kumbukumbu la Torati 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Hamwendi kumiliki nchi yao kwa sababu ya uadilifu wenu au unyoofu wa mioyo yenu. Badala yake, Yehova Mungu wenu anayafukuza mataifa hayo kutoka mbele yenu+ kwa sababu ya uovu wao na ili Yehova atimize neno alilowaapia mababu zenu, Abrahamu,+ Isaka,+ na Yakobo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki