Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na Babiloni, ufalme wenye utukufu zaidi,*+

      Uzuri na fahari ya Wakaldayo,+

      Litakuwa kama Sodoma na Gomora yalipoangamizwa na Mungu.+

  • Yeremia 25:12-14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “‘Lakini miaka 70 itakapotimia,+ nitamfanya mfalme wa Babiloni awajibike* na pia taifa hilo kwa sababu ya kosa lao,’+ asema Yehova, ‘nami nitaifanya nchi ya Wakaldayo kuwa mahame na ukiwa daima.+ 13 Nitatimiza maneno yangu yote niliyosema dhidi ya nchi hiyo, yote yaliyoandikwa katika kitabu hiki ambayo Yeremia ametabiri dhidi ya mataifa yote. 14 Kwa maana mataifa mengi na wafalme wakuu+ watawafanya kuwa watumwa,+ nami nitawalipa kulingana na matendo yao na kazi ya mikono yao wenyewe.’”+

  • Yoeli 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini Misri itakuwa ukiwa,+

      Na Edomu itakuwa nyika iliyo ukiwa,+

      Kwa sababu ya ukatili waliowatendea watu wa Yuda,+

      Katika nchi yao walimwaga damu isiyo na hatia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki