5 “Tazama! Namtuma kwenu nabii Eliya+ kabla haijaja ile siku kuu ya Yehova yenye kuogopesha.+6 Naye ataigeuza mioyo ya akina baba iwarudie wana,+ na mioyo ya wana iwarudie akina baba, ili nisije na kuipiga dunia, na hivyo kuiangamiza.”
12 Akawaambia: “Eliya anakuja kwanza na kurudisha mambo yote;+ lakini kwa nini imeandikwa kwamba lazima Mwana wa binadamu apatwe na mateso mengi+ na atendewe kwa dharau?+
17 Pia, atamtangulia kwa roho na nguvu za Eliya,+ ili kurudisha mioyo ya akina baba kwa watoto+ na wale wasiotii kwenye hekima ya waadilifu, na kumwandalia Yehova* watu waliotayarishwa.”+