Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 40:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kuna mtu anayepaza sauti nyikani:

      “Fungueni* njia ya Yehova!+

      Tengenezeni barabara kuu iliyonyooka+ inayopitia jangwani kwa ajili ya Mungu wetu.+

  • Malaki 4:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Tazama! Namtuma kwenu nabii Eliya+ kabla haijaja ile siku kuu ya Yehova yenye kuogopesha.+ 6 Naye ataigeuza mioyo ya akina baba iwarudie wana,+ na mioyo ya wana iwarudie akina baba, ili nisije na kuipiga dunia, na hivyo kuiangamiza.”

  • Mathayo 11:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana, maneno yote ya Manabii na Sheria yalitabiri hadi wakati wa Yohana;+ 14 na mkitaka kukubali, yeye ndiye ‘Eliya anayepaswa kuja.’+

  • Marko 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Akawaambia: “Eliya anakuja kwanza na kurudisha mambo yote;+ lakini kwa nini imeandikwa kwamba lazima Mwana wa binadamu apatwe na mateso mengi+ na atendewe kwa dharau?+

  • Luka 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Pia, atamtangulia kwa roho na nguvu za Eliya,+ ili kurudisha mioyo ya akina baba kwa watoto+ na wale wasiotii kwenye hekima ya waadilifu, na kumwandalia Yehova* watu waliotayarishwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki