Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nitayaangamiza majiji yenu kwa upanga+ na kuharibu mahali penu patakatifu, nami sitasikia harufu inayopendeza* ya dhabihu zenu.

  • 1 Wafalme 9:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 nitawaondolea mbali Waisraeli kutoka katika nchi ambayo nimewapa,+ na nyumba ambayo nimeitakasa kwa ajili ya jina langu nitaitupilia mbali kutoka mbele za macho yangu,+ na Israeli itakuwa kitu cha kudharauliwa* na kitu cha kudhihakiwa miongoni mwa mataifa yote.+ 8 Na nyumba hii itakuwa marundo ya magofu.+ Kila mtu atakayepita karibu nayo ataitazama kwa mshangao, atapiga mluzi na kuuliza, ‘Kwa nini Yehova aliitendea hivi nchi hii na nyumba hii?’+

  • Yeremia 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 “Nimeiacha nyumba yangu;+ nimeuacha urithi wangu.+

      Mpendwa wangu nimpendaye sana* nimemtia mikononi mwa maadui wake.+

  • Yeremia 22:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “‘Lakini msipoyatii maneno haya, ninaapa kwa nafsi yangu mwenyewe,’ asema Yehova, ‘kwamba nyumba hii itakuwa ukiwa.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki